WAZIRI MAVUNDE AFUTA MAOMBI YA LESENI ZA MADINI 227
-Awataka wadau kuzingatia matakwa ya Sheria -_wamiliki wa akaunti za uombaji na usimamizi wa leseni kwa njia ya mtandao ambao sio waaminifiu kusitishiwa akaunti zao -Zoezi la ufutaji wa maombi na Leseni kuwa endelevu -Amtaka kila mmoja kufuatilia hadhi ya maombi au Leseni zake Waziri wa Madini, Mheshimiwa Anthony Mavunde amebainisha kwamba Serikali kupitia Tume …
WAZIRI MAVUNDE AFUTA MAOMBI YA LESENI ZA MADINI 227 Read More »