News
-
09
Mar
2020TANZANIA SASA RASMI KUUZA MADINI YA BATI NJE
Yazindua Cheti cha Uhalisia kwa Madini ya 3T’s Read More
-
03
Mar
2020MASOKO YA MADINI YAINGIZA BILIONI 58.8 -PROFESA MANYA
Katibu Mtendaji wa Tume ya Madini, Profesa Shukrani Manya amesema kuwa, tangu kuanzishwa kwa masoko ya madini mapema Machi, 2019 hadi Desemba, 2019, masoko hayo yameiingizia Serikali kiasi cha shilingi bilioni 58.8 Read More
-
01
Jan
2020TUME YA MADINI YATANGAZA ZABUNI UNUNUZI WA MAENEO YENYE LESENI HODHI ZA MADINI, DESEMBA 19, 2019
Tume ya Madini imetangaza zabuni kwa ajili ya ununuzi wa maeneo 10 yenye leseni hodhi za madini na yenye ukubwa wa kilomita za mraba 381.89 Read More
-
18
Nov
2019STAMICO HII HAIWEZI KUFUTWA - KAMATI YA BUNGE
Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Mashirika ya Umma imesema Shirika la Madini la Taifa (STAMICO) haliwezi kufutwa tena kutokana na mwenendo wa sasa kuridhisha kutokana na utendaji wake na kubadili mtazamo wa awali. Read More
-
15
Nov
2019WAFANYABIASHARA ARUSHA WAPEWA SIKU MOJA KUHAMISHIA SHUGHULI ZAO NDANI YA SOKO
Waziri wa Madini Doto Biteko ametoa siku moja kwa Wafanyabiashara wote wa Madini Mkoani Arusha kuhamishia shughuli zao ndani ya Soko na watakao bainika kununua madini nje ya Soko watachukuliwa hatua za kisheria ikiwemo kufutiwa leseni zao na kufikishwa Mahakamani. Read More
-
03
Nov
2019WACHIMBAJI WA MADINI WATAKIWA KUHAKIKISHA WANA LESENI ZA MADINI
Mwenyekiti wa Tume ya Madini, Profesa Idris Kikula amewataka wachimbaji wa madini ya ujenzi nchini kuhakikisha wanapata leseni za madini kama Sheria ya Madini na Kanuni zake inavyofafanua Read More