THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIA
MINING COMMISSION

News


  • news title here
    19
    Jul
    2023

    TUME YA MADINI YATOA SIKU SABA KWA WAMILIKI WA LESENI KUTEKELEZA MASHARTI

    Tume ya Madini imetoa siku saba kwa wamiliki wote wa leseni za madini zikiwemo leseni za utafutaji wa madini, leseni za uchimbaji mdogo, wa kati na mkubwa wa madini, leseni za uchenjuaji wa madini, leseni za uyeyushaji wa madini na leseni za usafishaji wa madini kuhakikisha wanatekeleza masharti ya leseni zao kwa mujibu wa Sheria. Read More

  • news title here
    10
    Jul
    2023

    SERIKALI YAANISHA MIKAKATI YA KUVUTIA WAWEKEZAJI SEKTA YA MADINI

    ​Katibu Mtendaji wa Tume ya Madini, Mhandisi Yahya Samamba Read More

  • news title here
    15
    Jun
    2023

    MAUZO YA MADINI NJE YA NCHI YAPAISHA SEKTA YA MADINI

    Mwaka 2022-2023 yaipatia nchi shilingi trilioni 6.33 maduhuli yakiwa shilingi bilioni 619.6 Read More

  • news title here
    06
    Jun
    2023

    TUME YA MADINI YAWAPIGA MSASA WADAU WA MADINI KIGOMA

    Timu ya wataalam waandamizi wa Tume ya Madini wakiongozwa na Mkurugenzi wa Ukaguzi Migodi na Mazingira Read More

  • news title here
    16
    May
    2023

    KASSIM MAJALIWA: KONGAMANO LA MADINI LIMEONGEZA FURSA SEKTA YA MADINI

    *Wizara ya Madini imeagizwa kukagua Tozo na Kodi kandamizi* *Serikali inaendelea kuboresha mazingira mazuri ya biashara ya madini* Read More

  • news title here
    16
    May
    2023

    MADINI UJENZI NA VIWANDA YAPAISHA SEKTA YA MADINI KILIMANJARO

    Yachangia asilimia 82.6 katika makusanyo ya mwaka 2021/2022 Read More