THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIA
MINING COMMISSION

News


  • news title here
    01
    Nov
    2019

    WACHIMBAJI MADINI UJENZI MOROGORO WAFURAHISHWA NA KASI YA UTOAJI HUDUMA TUME YA MADINI

    Wachimbaji wa Madini Ujenzi katika Wilaya ya Mvomero wamempongeza Mwenyekiti wa Tume ya Madini, Profesa Idris Kikula pamoja na Uongozi wa Tume ya Madini kupitia Ofisi ya Afisa Madini Mkazi wa Mkoa wa Morogoro kwa kuwatembelea na kutatua kero mbalimbali zilizokuwa zikiwakabili kwa muda mrefu. Read More

  • news title here
    30
    Oct
    2019

    WACHIMBAJI MADINI UJENZI WATAKIWA KUWA NA MIKATABA YA UTOAJI HUDUMA KWA JAMII

    Mwenyekiti wa Tume ya Madini, Profesa Idris Kikula amewataka wachimbaji wa madini ya ujenzi kuwa na mikataba ya utoaji wa huduma kwa jamii inayotambulika kisheria ili kuepuka migongano inayoweza kujitokeza baina yao na wananchi wa vijiji vinavyozunguka machimbo Read More

  • news title here
    29
    Oct
    2019

    MWENYEKITI TUME YA MADINI AFANYA ZIARA DODOMA

    Leo tarehe 29 Oktoba, 2019 Mwenyekiti wa Tume ya Madini, Profesa Idris Kikula amefanya ziara Wilayani Dodoma Mjini lengo likiwa ni kukagua shughuli za uchimbaji wa madini ya ujenzi pamoja na kutatua kero mbalimbali. Read More

  • news title here
    11
    Oct
    2019

    TUME YA MADINI YAENDESHA MAFUNZO YA UTEKELEZAJI WA MPANGO WA BAJETI YA MWAKA 2019-2020 KWA WATENDAJI

    Tarehe 03 Oktoba, 2019 Kurugenzi ya Huduma za Tume ilitoa mafunzo ya namna ya utekelezaji wa mpango wa bajeti ya mwaka wa fedha 2019/2020 kwa watendaji jijini Dodoma lengo likiwa ni kuwajengea uwezo wa namna ya kusimamia matumizi ya fedha kwenye utekelezaji wa majukumu yao. Mafunzo hayo ya siku tatu yaliyomalizika tarehe 05 Oktoba, 2019 yalishirikisha Wakurugenzi na Mameneja kutoka Makao Makuu ya Tume ya Madini,Maafisa Madini Wakazi wa Mikoa, pamoja na maafisa bajeti. Read More

  • news title here
    11
    Oct
    2019

    TUME YA MADINI PAMOJA NA TAASISI ZA WIZARA YA MADINI YASHIRIKI MAONESHO YA SADC

    Tume ya Madini pamoja na Taasisi zilizopo chini ya Wizara ya Madini, ilishiriki katika maonesho ya kimataifa ikiwa ni sehemu ya mkutano wa 39 wa Wakuu wa SADCuliofanyika kuanzia tarehe 05 Agosti, 2019 hadi tarehe 09 Agosti, 2019 katika ukumbi wa mikutano wa Kituo cha Kimataifa cha Mwalimu Julius Nyerere (JNICC) jijini Dar es Salaam. Read More

  • news title here
    10
    Oct
    2019

    WATUHUMIWA WIZI WA MADINI WAFIKISHWA MAHAKAMANI

    Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imewafikisha Mahakamani Watuhumiwa Wanane (8) kwa makosa mbalimbali likiwemo la kuingia katika Mgodi wa North Mara na kuiba mifuko 15 ya Mawe yenye Dhahabu yanayokadiriwa kuwa na thamani ya zaidi ya shilingi Milioni 234 za kitanzania. Read More