THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIA
MINING COMMISSION

News


  • news title here
    06
    Jun
    2023

    TUME YA MADINI YAWAPIGA MSASA WADAU WA MADINI KIGOMA

    Timu ya wataalam waandamizi wa Tume ya Madini wakiongozwa na Mkurugenzi wa Ukaguzi Migodi na Mazingira Read More

  • news title here
    16
    May
    2023

    KASSIM MAJALIWA: KONGAMANO LA MADINI LIMEONGEZA FURSA SEKTA YA MADINI

    *Wizara ya Madini imeagizwa kukagua Tozo na Kodi kandamizi* *Serikali inaendelea kuboresha mazingira mazuri ya biashara ya madini* Read More

  • news title here
    16
    May
    2023

    MADINI UJENZI NA VIWANDA YAPAISHA SEKTA YA MADINI KILIMANJARO

    Yachangia asilimia 82.6 katika makusanyo ya mwaka 2021/2022 Read More

  • news title here
    25
    Apr
    2023

    MCHANGO WA SEKTA YA MADINI KWENYE PATO LA TAIFA WAENDELEA KUKUA

    Mchango wake wafikia asilimia 7.2 mwaka 2021 Mauzo ya madini nje ya nchi yafikia dola milioni 3,395.3 mwaka 2022 Yaelezwa siri ni ubunifu kwenye usimamizi wa Sekta ya Madini. Kasi ya utoaji leseni za madini yaongezeka, wawekezaji waendelea kumimikika Read More

  • news title here
    18
    Apr
    2023

    SERIKALI, WABIA WASAINI MIKATABA MITATU MADINI MUHIMU YA KIMKAKATI

    Ikiwa imetimia miaka miwili tangu kusainiwa kwa Mikataba Minne ya Uchimbaji Madini, Aprili 17, 2023 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan alishuhudia tena utiaji saini wa Hati ya Makubaliano ya Mikataba Mitatu ya Uchimbaji Madini Mkubwa na wa Kati baina ya Serikali na Wabia. Read More

  • news title here
    17
    Apr
    2023

    KATIBU MTENDAJI WA TUME YA MADINI AWAASA WAAJIRIWA WAPYA KUWEKA UZALENDO MBELE

    Katibu Mtendaji wa Tume ya Madini, Mhandisi Yahya Samamba amewataka wataalam walioajiriwa kwa mara ya kwanza na Tume ya Madini kutanguliza uzalendo mbele kwenye utendaji kazi ili Sekta ya Madini iendelee kuwa na taswira chanya na kuwa na mchango mkubwa kwenye Pato la Taifa. Read More