THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIA
MINING COMMISSION

News


  • news title here
    03
    Oct
    2022

    DKT. BITEKO ATEMBELEA BANDA LA WIZARA YA MADINI NA TAASISI ZAKE KWENYE MAONESHO YA MADINI GEITA

    Waziri wa Madini, Dkt. Doto Biteko akiwa ameambatana na Katibu Mkuu wa Wizara ya Madini, Adolf Ndunguru na Kamishna wa Madini Nchini, Dkt. Abdulrahman Mwanga tarehe 01 Oktoba, 2022 ametembelea Banda la Wizara ya Madini na Taasisi zake Read More

  • news title here
    28
    Aug
    2022

    MIRERANI YATOA BILIONEA MPYA WA TANZANITE

    Kwa mara nyingine ndani ukuta unaozunguka Migodi ya Tanzanite Mirerani, amepatikana bilionea mpya wa madini ya Tanzanite anayefahamika kwa jina la Anselim Kawishe mchimbaji madogo wa madini hayo baada ya kupata Mawe Makubwa ya kipekee ya tanzanite moja likiwa na uzito wa kilogramu 3.74 na jingine likiwa na uzito wa kilogramu 1.48 yenye thamani ya shilingi bilioni 2.24 Read More

  • news title here
    12
    Aug
    2022

    AFISA MADINI MKAZI WA MKOA WA DODOMA AWAKARIBISHA WAWEKEZAJI DODOMA

    Afisa Madini Mkazi wa Mkoa wa Dodoma Mhandisi Nchagwa Marwa amewakaribisha wawekezaji wa madini kuwekeza kwenye shughuli za uchimbaji wa madini kutokana na mkoa huo kuwa na madini ya aina nyingi ikiwemo ya viwanda, ujenzi, vito na metali na kusisitiza kuwa Serikali kupitia Wizara ya Madini imeweka mazingira mazuri ya uwekezaji. Read More

  • news title here
    10
    Jul
    2022

    MKUTANO NA WADAU WA UCHIMBAJI NA BIASHARA YA MADINI YA TANZANITE.

    Mkutano na wadau wa uchimbaji na Biashara ya Madini ya Tanzanite Read More

  • news title here
    06
    Jul
    2022

    SHERIA YA USHIRIKISHWAJI WA WATANZANIA KUTALETA MATOKEO CHANYA

    Imeelezwa kuwa, endapo Sheria ya Ushiriki na Ushirikishwaji wa Watanzania katika Sekta ya Madini itasimamiwa vizuri itawezesha kufikiwa lengo la kufikia mchango wa asilimia 10 katika pato la Taifa. Read More

  • news title here
    06
    Jul
    2022

    ZAMBIA YASHANGAZWA MFUMO USIMAMIZI SEKTA YA MADINI

    Ujumbe kutoka Serikali ya Zambia ukiongozwa na Waziri wa Madini na Maendeleo ya Migodi Paul Kabuswe umeshangazwa na mfumo wa usimamizi uliopo kwenye sekta ya madini nchini. Read More