THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIA
MINING COMMISSION

News


  • news title here
    20
    May
    2022

    PROFESA KIKULA AAINISHA MAFANIKIO MAKUBWA USHIRIKISHWAJI WA WATANZANIA SEKTA YA MADINI

    ​Mwenyekiti wa Tume ya Madini, Profesa Idris Kikula ameeleza kuwa tangu kuanza kwa utekelezaji wa Sheria ya Madini ya Mwaka 2010 ambayo ilipelekea kutungwa kwa kanuni za Ushirikishwaji wa Watanzania katika Sekta ya Madini za Mwaka 2018 mafanikio makubwa yamepatikana ikiwa ni pamoja na ongezeko la fursa za uwekezaji katika sekta ya madini, teknolojia, manunuzi na ajira na kupelekea Sekta ya Madini kuendelea kukua kwa kasi. Read More

  • news title here
    02
    May
    2022

    PROFESA KIKULA AWATAKA MAAFISA MADINI WAKAZI WA MIKOA KUONGEZA KASI UKUSANYAJI WA MADUHULI

    Mwenyekiti wa Tume ya Madini, Profesa Idris Kikula amewataka maafisa madini wakazi wa mikoa nchini kuongeza kasi ya ukusanyaji wa maduhuli ikiwa ni pamoja na kubuni vyanzo vipya vya mapato ili kufikia lengo lililowekwa la mwaka 2021/2022 la shilingi bilioni 650 na Sekta ya Madini kuendelea kuwa na mchango mkubwa kwenye Pato la Taifa. Read More

  • news title here
    10
    Apr
    2022

    TANGAZO KWA WADAIWA WOTE WA TUME YA MADINI.

    WADAIWA WOTE WA TUME YA MADINI. Read More

  • news title here
    11
    Mar
    2022

    WACHIMBAJI WADOGO WA MADINI KAHAMA WATAKIWA KUFUATA SHERIA YA MADINI NA MIONGOZO MBALIMBALI

    Katibu Tawala wa Wilaya ya Kahama, Timothy Ndaya amewataka wachimbaji wadogo wanaoendesha shughuli za uchimbaji wa madini ya dhahabu na ujenzi katika wilaya hiyo kufuata sheria za madini pamoja na kanuni mbalimbali zilizowekwa na Serikali ili uchimbaji wao uinue uchumi wa nchi bila kuleta athari zozote. Read More

  • news title here
    08
    Mar
    2022

    WANAWAKE TUME YA MADINI WATEMBELEA KITUO CHA WASIOONA

    Ni kuelekea Siku ya Wanawake Duniani Read More

  • news title here
    23
    Feb
    2022

    WATANZANIA WATAKIWA KUCHANGAMKIA FURSA KWENYE SEKTA YA MADINI

    Watanzania wametakiwa kuungana na wawekezaji kutoka nje ya nchi kwenye utoaji wa huduma kwenye shughuli za uchimbaji wa madini nchini ili waweze kunufaika huku Serikali ikipata mapato yake. Read More