News
-
01
Apr
2021WAHASIBU TUME YA MADINI WATAKIWA KUENDELEA KUTOA USHAURI KATIKA MASUALA YA FEDHA
Wahasibu Tume ya Madini wametakiwa kuendelea kutoa ushauri katika masuala ya kifedha kwenye usimamizi wa Sekta ya Madini na kuiwezesha kufikia lengo lake la kuchangia kwa asilimia 10 kwenye Pato la Taifa ifikapo mwaka 2025. Read More
-
01
Apr
2021WIZARA YA MADINI KUKUSANYA ZAIDI YA BILIONI 600 KWA MWAKA WA FEDHA 2021-2022
Wizara ya Madini kupitia Tume ya Madini inatarajia kukusanya shilingi bilioni 650 katika kipindi cha mwaka wa fedha 2021-2022 na kuendelea kuboresha shughuli za uchimbaji na madini ili Sekta ya Madini iwe na mchango mkubwa katika ukuaji wa uchumi wa nchi Read More
-
16
Mar
2021KAMATI YA KUDUMU YA BUNGE YA NISHATI NA MADINI YATOA KONGOLE KWA WIZARA YA MADINI
Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Nishati na Madini imefurahishwa na juhudi za maendeleo zinazotekelezwa na Wizara ya Madini ambapo wameridhishwa na miradi inayoendelea kufanyika ndani ya ukuta unaozunguka migodi ya Tanzanite Mirerani. Read More
-
05
Mar
2021WAZIRI BITEKO AITAKA KAMATI YA KITAIFA YA UFUNGAJI MIGODI KUWASILISHA MPANGO WA UTENDAJI KAZI
Waziri wa Madini, Doto Biteko ameitaka Kamati ya Kitaifa kuwasilisha mpango kazi wake wa utekelezaji wa majukumu kwenye usimamizi wa ufungaji wa migodi nchini ikiwa ni mkakati wa kuhakikisha shughuli za uchimbaji wa madini zinafungwa pasipo kuathiri mazingira. Read More
-
04
Mar
2021TUME YA MADINI YAFIKISHA ASILIMIA 75.8 UKUSANYAJI WA MADUHULI KWA MWAKA 2020-2021
Kaimu Katibu Mtendaji wa Tume ya Madini, Mhandisi Yahya Samamba amesema kuwa kuanzia kipindi cha mwezi Julai, 2020 hadi Februari 2021 katika mwaka wa fedha 2020-2021, Tume ya Madini ilifanikiwa kukusanya kiasi cha shilingi bilioni 399.3 ikiwa ni sawa na asilimia 75.8 ya lengo la kukusanya shilingi bilioni 526.7. Read More
-
22
Feb
2021ZIARA YA MAKAMU WA RAIS KATIKA BANDA LA TUME YA MADINI KWENYE MAONESHO YA MADINI DAR ES SALAAM
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan ametembelea Banda la Tume ya Madini katika maonesho yanayoendelea katika Mkutano wa Kimataifa wa Uwekezaji katika Sekta ya Madini unaofanyika katika Ukumbi wa Kimataifa wa Mwalimu Julius Nyerere (JNICC) jijini Dar es Salaam. Read More