THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIA
MINING COMMISSION

News


  • news title here
    10
    Apr
    2022

    TANGAZO KWA WADAIWA WOTE WA TUME YA MADINI.

    WADAIWA WOTE WA TUME YA MADINI. Read More

  • news title here
    11
    Mar
    2022

    WACHIMBAJI WADOGO WA MADINI KAHAMA WATAKIWA KUFUATA SHERIA YA MADINI NA MIONGOZO MBALIMBALI

    Katibu Tawala wa Wilaya ya Kahama, Timothy Ndaya amewataka wachimbaji wadogo wanaoendesha shughuli za uchimbaji wa madini ya dhahabu na ujenzi katika wilaya hiyo kufuata sheria za madini pamoja na kanuni mbalimbali zilizowekwa na Serikali ili uchimbaji wao uinue uchumi wa nchi bila kuleta athari zozote. Read More

  • news title here
    08
    Mar
    2022

    WANAWAKE TUME YA MADINI WATEMBELEA KITUO CHA WASIOONA

    Ni kuelekea Siku ya Wanawake Duniani Read More

  • news title here
    23
    Feb
    2022

    WATANZANIA WATAKIWA KUCHANGAMKIA FURSA KWENYE SEKTA YA MADINI

    Watanzania wametakiwa kuungana na wawekezaji kutoka nje ya nchi kwenye utoaji wa huduma kwenye shughuli za uchimbaji wa madini nchini ili waweze kunufaika huku Serikali ikipata mapato yake. Read More

  • news title here
    26
    Jan
    2022

    MAJALIWA: WATANZANIA TUSHIKAMANE KUIPA THAMANI TANZANITE

    WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amewataka watanzania kushirikiana na kushikamana ili kuyapa thamani madini ya Tanzanite na kuifanya dunia nzima itambue kuwa madini ya Tanzanite yanapatikana Tanzania tu na tayari imeweka mazingira ya kuyaongezea thamani. Read More

  • news title here
    25
    Jan
    2022

    WAZIRI BITEKO ATAJA MAFANIKIO KUANZISHWA KAMPUNI YA MADINI YA TWIGA//MAKUSANYO YAFIKIA BIL 528

    Serikali imeeleza mafanikio yaliyopatikana kutokana na kuanzishwa kwa kampuni ya Madini ya Twiga (Twiga Minerals Corporation Limited) inayomilikiwa kwa ubia kati ya Serikali ya Tanzania na Kampuni ya Uchimbaji madini ya Barrick Gold. Read More